Godzila kuacha muziki kwa muda

Mwanamuziki toka pande za Salasala, The King of Salasala, Godzila, hatopanda jukwaani tena mpaka apone kidonda kilichoshonwa nyuzi.

Godzila alisema alipata  ajali  wakati akitoka Mikocheni kwenda Studio, na punde tu walipofika njiani Coaster moja, ilikuja na kuwagonga kwa nyuma kiasi cha  kujigonga na kuchanika sehemu ya mdomoni.
Amesema baada ya tukio hilo ilimbidi afike hospitali na kushonwa nyuzi mbili, ambazo hadi sasa bado anafuatilia matibabu.

Hivyo amesema hatuweza kupanda jukwaani mpaka hali yake itakapotengemaa na kuwa sawia ndipo ataingia tena mzigoni kwa ajili ya burudani zaidi.

Categories General | Tags: | Posted on March 2, 2011

Social Networks: RSS Facebook Twitter Google del.icio.us Stumble Upon Digg Reddit

1 Comment

  1. by peter

    On January 6, 2012

    no comment to you guy welcome a town we ni mkali sna ila take care sna coz wanaokuchukia uwajui wapo karibu yako sana tht it iz

Leave a Reply

Sorry, but you must be logged in to post a comment.

close window

Service Times & Directions

Weekend Masses in English

Saturday Morning: 8:00 am

Saturday Vigil: 4:30 pm

Sunday: 7:30 am, 9:00 am, 10:45 am,
12:30 pm, 5:30 pm

Weekend Masses In Español

Saturday Vigil: 6:15pm

Sunday: 9:00am, 7:15pm

Weekday Morning Masses

Monday, Tuesday, Thursday & Friday: 8:30 am

map
6654 Main Street
Wonderland, AK 45202
(513) 555-7856