ARCHIVES
Bongo Recrods have been as busy as ever with Pfunk producing new material for Juma Nature, Afande Sele, Ferooz, and also a very intersting collaboration with Nigerian Artist G-Scent. “In a normal world,East and West never meet.However, in the music world,East can meet West and when that happens,the best is a normal result.That is what Read more
August 14, 2011 in Bongo Flava, General, News by Ralph
No comments yet
Album ya Rama Dee imemalizika hivi karibuni na sasa ndo imeshaingia mtaani….. Album inaitwa “CHINI YAUVUNGU WA MOYO WANGU “, Na yote imefanyika ndani ya studio ya “SABABISHA RECORDS”, na nimeproduce ngoma zote isipokuwa ‘MAKE UP’ ambayo imefanywa na pancho latino pale B hits na track inayoitwa ‘LEO’ ambayo imefanywa na producer chipukizi anayeitwa SAFI Read more
March 5, 2011 in Bongo Flava, News by Ralph
No comments yet
MAMBO VIPI… NATAMBUA NINAPATA/TUNAPATA MAFANIKIO MAKUBWA KUTOKANA NA KUWA NA WATU WENGI WANAONISUPPORT NA WANAOTUSSUPORT (AY & FA)KWENYE KAZI ZETU ZA KIMUZIKI KWA UJUMLA NA YOTE HII NI KWA KUWA HATUWAANGUSHI KATIKA KAZI ZANGU NA ZOTE TUNAZOZIFANYA..HII YOTE NI KWA KUWA TUNAIPENDA NA KUIHESHIMU SANA KAZI TUNAYOFANYA KWA KWENDA NA WAKATI NA KUJUA NINI WASHABIKI WANATAKA KIPINDI Read more
March 5, 2011 in Bongo Flava, News by Ralph
No comments yet
Hi all.. You can see Sauda’s Sauti za Busara performance on CAPITAL TV (Tanzania) TUESDAY 22 Feb at 19:00. Please don’t miss this!! *** Watch the video for Global Crisis HERE! This is the first video from her album titled Sauti ya Sauda, available at all A Novel Idea bookshops in Tanzania, New Read more
March 5, 2011 in Events, News, Reviews by Ralph
No comments yet
Karibu to a literary event for kool kats with literary minds featuring readings by @Fareed Kubanda (FidQ), @Langa Sarakikya and Walter Bgoya, punctuated by jazz. Plus, performances by @Mzungu Kichaa, @Kauzeni Lyamba and other contemporary writers and musicians.
February 2, 2011 in Bongo Flava, Events, News by Ralph
No comments yet
“Make up” ft G nako & Pipi is a new song released by rama dee from his coming album “uvungu wa moyo wangu”, production by Pancho Latino from B hits Records… Listen Make Up and Drop Ya comment.
November 4, 2010 in News by Ralph
No comments yet
THE MEMBER OF WATENGWA A HIP HOP CLAN FROM ARUSHA JCB IS ABOUT TO RELEASE ANOTHER TRACK FROM HIS ALBUM NAKALA ZA MAKALLA, THE SONG TITLED SITOWASAHAU MILELE(MOMENT OF SILENCE) IS A SPECIAL DEDICATION TO ALL SOLDIERS WE LOST IN THE GAME OF HIP HOP MUSIC INCLUDING THE MEMBER OF X-PLASTAZ “FAZA NELLY”,VIVIAN TILLYA AND Read more
November 2, 2010 in News by Ralph
No comments yet
Habari zilizotufikia ni kwamba Joseph Mbilinyi aka Sugu hivi sasa ameshinda ubunge katika jimbo la mbeya mjini kupitia chama cha CHADEMA. Sugu ambaye ni mhasisi wa mziki wa Bongo Flava Tanzania tunamtakia mafanikio mema katika kuongoza Jimbo lake na m…
November 1, 2010 in News by Ralph
No comments yet
Mwanamuziki mahiri anayetesa na kibao chake cha Mbagala, Diamond, leo ametangazwa kuwania tuzo ya ya muziki barani Afrika ya MTV Africa Music Awards (MAMA 2010) na hivyo kuwa mwanamuziki pekee kwa mwaka huu kuwania tuzo hizo kutoka hapa nchini, tuzo ambazo zinatolewa na MTV na kudhaminiwa na Zain. Hongera sana Diamond na tunatumaini utatuletea Tuzo Read more
November 1, 2010 in News by Ralph
1 comment
Sasa ni zamu ya msanii wa Hip Hop ambaye maybe ni msanii mdogo kiumri kuliko wote Tanzania. Anayejulikana kwa jina la Young D kutoka Fish Crab. Young Dee yuko mbioni kuingiza album yake ya kwanza Sokoni itakayokwenda kwa jina la Young Rapper.
October 29, 2010 in Bongo Flava, News by Ralph
1 comment