Mshukuru Kimaro
Mshukuru Kimaro
  • Male
  • Moshi, Tanzania
  • Tanzania, United Republic Of
Share on Facebook Share on Facebook Share Twitter

Mshukuru Kimaro's Friends

  • Moontaq Abubakar

Mshukuru Kimaro's Discussions

JE? WATANZANIA TUNAO UELEWA KUHUSU KATIBA?

Kwa kipindi kurefu sasa tumeweza kushuhudia wadau mbalimbali wakiwemo wasomi, wanasiasa na hata wananchi wa kawaida wakilalamika kuhusu mabadiliko ya katiba au kuwepo kwa katiba mpya. swali langu ni…Continue

Started Feb 22, 2011

MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2010 {CSEE 2010} KUWA MABAYA, SERIKALI YA TANZANIA INAHUSIKA??
14 Replies

Kutokana na matokeo ya kidato cha nne 2010 kuwa mabaya serikali ya TANZANIA inahusuka? Nazungumza hivi nikitaka kujibiwa/kujadiliWASOMI…Continue

Started this discussion. Last reply by Deo Mhumbira Apr 28, 2011.

TOFAUTI ZA KIDINI/DHEHEBU ZAWEZA KUVUNJA UHUSIANO WAKO NA UMPENDAYE??
5 Replies

Hivi kama unampenda mpenzi wako kwa dhati hizi tofauti zaweza kubreak mahusiano yako? Why?

Started this discussion. Last reply by ZAKAYO GODFREY Oct 4, 2011.

KWA NINI MAHUSIANO YANAVUNJIKA??
5 Replies

Mahusiano mengi ya kimapenzi yanaweza kuanza vizuri lakini baada ya muda yanavunjika hii inasababishwa na nini????

Started this discussion. Last reply by kajerekani Feb 11, 2011.

 

Mshukuru Kimaro's Page

Latest Activity

Profile Icon
ZAKAYO GODFREY replied to Mshukuru Kimaro's discussion 'TOFAUTI ZA KIDINI/DHEHEBU ZAWEZA KUVUNJA UHUSIANO WAKO NA UMPENDAYE??'
aziwezi kwan ata biblia imeandika mwanamke ataacha wazazi wake na ataambatana na na mumewe
Oct 4, 2011
Profile Icon
Zulekha replied to Mshukuru Kimaro's discussion 'TOFAUTI ZA KIDINI/DHEHEBU ZAWEZA KUVUNJA UHUSIANO WAKO NA UMPENDAYE??'
mmh itabidi muongee nao, then mpaka kieleweke au iwe vurugu mechi. Lakini mwisho wa yore itabidi mupime maji na unga. Halafu jibu mtalipata. Na kama unavyosema Kama wenyewe mshapatana mkaamua kuendelea then kama kweli mumeamua mutaendelea. At the…
May 29, 2011
Profile Icon
Eva Kirenga replied to Mshukuru Kimaro's discussion 'TOFAUTI ZA KIDINI/DHEHEBU ZAWEZA KUVUNJA UHUSIANO WAKO NA UMPENDAYE??'
Unajua watu hawajui ni nini maana ya DHEHEBU, AU DINI. Hakuna dini au dhehebu linalomfikisha Mtu mbinguni, MUNGU HUWA ANAANGALIA MATENDO NA MOYO WAKO ULICHOKIBEBA NDANI YAKO. Dini au Dhehebu ni namna tu ya mtu kutafuta kukimbia/kumkimbia…
Apr 30, 2011
Profile Icon
SAID RASHID left a comment for Mshukuru Kimaro
Haya kaka,matokeo ya kidato cha nne nashukuru mungu tumeyasahau. Ya kidato cha sita watu wamefanya mapinduzi sasa! Unasemaje?
Apr 29, 2011
Profile Icon
Deo Mhumbira replied to Mshukuru Kimaro's discussion 'MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2010 {CSEE 2010} KUWA MABAYA, SERIKALI YA TANZANIA INAHUSIKA??'
Serikali ndio mhusika mkuu kwa kufanya vibaya kwa wanafunzi kwenye mitihani yote! Taratibu zinazotumika kupata waalimu ni moja tu ya mifano mingi inayodhihirisha kuwa serikali ni ya kulaumiwa. Asilimia kubwa ya waalimu ni wale ambao wamepata daraja…
Apr 28, 2011
Profile Icon
Mshukuru Kimaro replied to Mshukuru Kimaro's discussion 'TOFAUTI ZA KIDINI/DHEHEBU ZAWEZA KUVUNJA UHUSIANO WAKO NA UMPENDAYE??'
nashukuru sana  Zulekha, lakini  utafanya nini pale inapotokea nyinyi wenyewe mmepatana kukubaliana kuoana pamoja na tofauti zenu lakini wazazi wanaweka vipingamizi???????
Apr 23, 2011
Profile Icon
Mshukuru Kimaro left a comment for Moontaq Abubakar
You are welcome chief!!!!!!
Apr 23, 2011
Profile IconProfile Icon
Mshukuru Kimaro and Moontaq Abubakar are now friends Apr 23, 2011
Profile Icon
Mshukuru Kimaro replied to Zulekha's discussion 'Mabomu ya Gongo La Mboto?'
Pia serikali inapaswa kuwa makini kuhusu majanga kama haya na kama kuna uzembe uliobainika basi wahusika wachukuliwe hatua kali!!!!!
Feb 22, 2011
Profile Icon

JE? WATANZANIA TUNAO UELEWA KUHUSU KATIBA?

Kwa kipindi kurefu sasa tumeweza kushuhudia wadau mbalimbali wakiwemo wasomi, wanasiasa na hata wananchi wa kawaida wakilalamika kuhusu mabadiliko ya katiba au kuwepo kwa katiba mpya. swali langu ni kwamba Je? Watanzania tunayo elimu ya kutosha kuhusu KATIBA??
Discussion posted by Mshukuru Kimaro Feb 22, 2011
Profile Icon
ili ubadilishe hali yako ya kiuchumi ni lazima ubadili namna ya "KUFIKIRI"
Status posted by Mshukuru Kimaro Feb 22, 2011
Profile Icon
kajerekani replied to Mshukuru Kimaro's discussion 'KWA NINI MAHUSIANO YANAVUNJIKA??'
kitu tena kinachangia ni kwamba wapenzi wawili kuna wakati wanaanza penzi lao kabisa mambo ni poa,lakini kutokana na kua umoja kati yao ana tabia zenye amemficha mwenzi yake.sasa siku ataziona,basi nguvu zamapenzi hapo hupungua
Feb 11, 2011
Profile Icon

TOFAUTI ZA KIDINI/DHEHEBU ZAWEZA KUVUNJA UHUSIANO WAKO NA UMPENDAYE??

Hivi kama unampenda mpenzi wako kwa dhati hizi tofauti zaweza kubreak mahusiano yako? Why?
A discussion started by Mshukuru Kimaro was featured Feb 5, 2011
Profile Icon
Zulekha replied to Mshukuru Kimaro's discussion 'TOFAUTI ZA KIDINI/DHEHEBU ZAWEZA KUVUNJA UHUSIANO WAKO NA UMPENDAYE??'
Kimaro hii topic ni bomba. Vyote hapo juu vinawezekana, pia inategemea nyinyi wenyewe wahusika kama munalichukulia vipi suala la udini. Na inatakiwa maamuzi yenu muyaweke bayana pale munapokutana na kuanzisha uhusianno huo. Yaani sio muache mpaka…
Feb 5, 2011
Profile Icon
elmengildor replied to Mshukuru Kimaro's discussion 'MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2010 {CSEE 2010} KUWA MABAYA, SERIKALI YA TANZANIA INAHUSIKA??'
Jamani hali ni mbaya sana matokeo ya shule za kata kama ilivyotarajiwa. Je sasa hii ndo itakuwa turning point ya wanavijiji huko vijijini kuwahusudu CCM? Je serikali itatoa tamko gani? Hapa ndo tunaona umuhimu wa kutenganisha siasa na maswala…
Feb 5, 2011
Profile Icon
Deos esha replied to Mshukuru Kimaro's discussion 'MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2010 {CSEE 2010} KUWA MABAYA, SERIKALI YA TANZANIA INAHUSIKA??'
Tatizo lipo kwani ule mpango wa kuwachuja wanafunzi wa kidato cha pili katika mtihani wataifa ulifutwa hivyo hii nayo inarahishiwajinga kupita kirahisi bila kuongeza bidii katika masomo, pia upungufu wa walimu katika shule mbalimbali hasa zile za…
Feb 4, 2011

Mshukuru Kimaro's Blog

Mshukuru Kimaro

START IMPROVING YOURSELF!!!!!!!

Posted on April 16, 2010 at 1:24pm 0 Comments


Comment Wall (1 comment)

You need to be a member of Bab Kubwa - Bongo Flava Music from Tanzania, Swahili Hip Hop, to add comments!

Join Bab Kubwa - Bongo Flava Music from Tanzania, Swahili Hip Hop,

At 12:29pm on April 29, 2011, SAID RASHIDSAID RASHID said…
Haya kaka,matokeo ya kidato cha nne nashukuru mungu tumeyasahau. Ya kidato cha sita watu wamefanya mapinduzi sasa! Unasemaje?

Top Friends

 
 
 

Latest Activity

Profile Icon
Raphael Augustiuno updated their profile 2 hours ago
Profile Icon
Profile Icon

MXCARTER Fans

Thumbnail
for fans and friends of Michael Mlingwa of Mxcarter.com
edwin nyagawa joined Mr Ralph's group Feb 13
Profile IconProfile Icon
AYOUB {MC HAMMER} and Ally Ramadhani are now friends Feb 12
Profile Icon
Profile Icon
Profile Icon

Malfred - Asante Mama (Official video)

A tribute to all the hardworking beautiful Tanzanian Mamas... Produced by Alec Burton for Maisha Music, Tanzania. Taken from the forthcoming album by Malfred...
Video posted by Maisha Music Tanzania Feb 7
Profile Icon
Profile Icon
Profile Icon
Bab Kubwa - Bongo Flava Music from Tanzania, Swahili Hip Hop, now has chat Feb 6
Profile Icon
JAMANI NAWAOMBA MUIUNGE MKONO WEBSITE HII MAANA MCHEZA KWAO HUTUNZWA - www.rafikibuzz.com
Status posted by Magic Boy Feb 4
Profile Icon
kwenye wingi wa maji wajinga wanakiu, hii ni hapa kwetu Tz tuna kila kitu lakini masikini kwa nini aaa?
Status posted by edwin nyagawa Feb 2
Profile Icon
edwin nyagawa updated their profile Feb 2
Profile Icon

Nicko - Sinomenya [2012 RNB W/Lyrics(www.lilnickojunior.webs.com]

2012 new RNB BUJA Hit From Nicko... Im in the building once more once again Never go no where man 4 y'all tought i was gone .... yu dead wrong man ...caz mm ...
Video posted by Lil Nicko Junior Jan 31
Profile Icon
my perfect day is making music with my crew . the future of bongo hip hop music
Status posted by Lil Nicko Junior Jan 31
Profile Icon
Lil Nicko Junior updated their profile Jan 31
Profile Icon

Yvonne Mwale | Fight Like A Soldier [Official Video]

© 2012 by YVONNE MWALE Video by Matthias Krämer, Media in Motion Ltd. "Fight Like A Soldier" from the album "Kalamatila" published 2012 by Caravan Records. A...
Video posted by Matthias K. Jan 30
Profile Icon
AYOUB {MC HAMMER} commented on Mr Ralph's blog post 'No Title'
Ime2lia babuu
Jan 30
Profile Icon
Issa Khalpha commented on Mr Ralph's blog post 'No Title'
yeap,nakubali kitu kimetulia (dj E-sir A.k.A  Black jesus kutoka Rwanda)
Jan 29
Profile Icon
Salehe Omari Nahoda updated their profile Jan 28

Groups

Forum

john bart

xmass time

Started by john bart in General Dec 23, 2011.

samuel dzombo

Al-Shaabab

Started by samuel dzombo in General Nov 12, 2011.

INNOCENT MSILIKALE

why are we Tanzanians very poor? 9 Replies

Started by INNOCENT MSILIKALE in General. Last reply by umbopa mtukanzu Nov 11, 2011.

Zulekha

Anadai amechoka. Lol! 4 Replies

Started by Zulekha in General. Last reply by fadhili rashidi mfinanga Nov 4, 2011.

Bongo Flava's Social Network! bringing you the best of Tanzanian Entertainment. Chat, Forums, News, Video and the latest bongo flava Mp3s.

© 2012   Created by Mr Ralph.

Badges  |  Report an Issue  |  Terms of Service